Ujue Matola huyo jamaa muanzilishi wa thread ya mtaa wa pili namuonaga ana swaga flani hivi za kizee ndio maana hua sitaki kubishana nae kabisa....heshma kwa wazee ipewe kipaumbele jamani
kiba hashindani ila anashinda yaani magoli ya mbali ya bila zoezi kimbiza hao mpaka wApitilize kwao.mwenyekiti amekalia kiti chake single moja wamepiga kelele laki moja
kunajiri nini jamani humu? i was sooo busy today jaman kumbe tulitembelewa na majirani? Thats y i love you guys response yenu imenihamasisha, guuud go go go go kiba, kiba mstaarabu na mashabiki wake pia wastaarabu, tuko nawe miaka miaa, nifah mimi mithi wewe