Jamani nimjuavyo mimi Matola tokea nimeijua JF ni ana mapenzi ya ukweli kwa Ally Kiba...wewe mwenzangu sijui kama unamjua vizuri...he is a die hard fan....
Jamani nimjuavyo mimi Matola tokea nimeijua JF ni ana mapenzi ya ukweli kwa Ally Kiba...wewe mwenzangu sijui kama unamjua vizuri...he is a die hard fan....
Ushuzi wao wakajambe huko kwenye thread waliotuiga na imebuma.
Naomba na nasisitiza tena tuheshimu Le Tamkooz, haturuhusiwi kwenda kucomment mtaa wa pili wa waigizaji, tubaki hapa kwa raha zetu, waacheni wadode na siredi yao ya kutuiga, hawana ubunifu kabisa hawa viumbe.