King Kiba sio masikini kwenye kuandika. Kila wimbo uhusika wa kivyake kabisa. Kiba ana kipaji kikubwa sana ndio maana namwelewa. Huwezi kufananisha melody wala msitari wowote toka kwenye wimbo huu hadi kwenda wimbo mwingine.
Ova
Msisitizo ni muhimu sana kwa kijana wetu ili asituangushe kama mtaa wa pili walivyoangushwa na kijana wao kwa ngoma mpya iliyosikika kwa wiki moja tu then ikapotea na kubakia scandal tu za ngono.
Ova
Msisitizo ni muhimu sana kwa kijana wetu ili asituangushe kama mtaa wa pili walivyoangushwa na kijana wao kwa ngoma mpya iliyosikika kwa wiki moja tu then ikapotea na kubakia scandal tu za ngono.
Ova