Lazima, mashabiki wanaisubiri, TV's stations zinasubiri na hata mtaa wa pili wanaisubiri. Nani ataki kuona ukamilisho wa kazi bora kabisa ya Mwana? Hakuna..
Ova
nimeona e-news kuwa kiba anatarajia kupiga mziki wa live na wasanii wengine(cwakumbuki) huko zanzibar, nafurahi ninaposikia anafanya mziki wa live maana haya macd inabidi aachane nayo sasa
nimeona e-news kuwa kiba anatarajia kupiga mziki wa live na wasanii wengine(cwakumbuki) huko zanzibar, nafurahi ninaposikia anafanya mziki wa live maana haya macd inabidi aachane nayo sasa