Kelele unazifaham tulipiga madebe??tulikuja kwenu kuwatangazia!!grow up acha uchokoz wa kitoto lady!!ukiona povu linatoka ujue sabuni imekolea(kiba),alafu wewe unapenda sana kukimbilia neno 'roho mbaya',yani uniite nna roho mbaya kisa nazimika na mdundo wa Kiba!!plz!!Ukiwa mchokoz uwe na kumbukumbu!!hujawahi kuniona kwenu hata siku moja nikimkandia ndomo!!Na bado naona unajamba jamba tu huna jipya,enjoy ur stay in the mantion!!