Nani kakuzuia kuwa mwandshi ili uwahoji maswali unayotaka? uandishi unaruhusu kila mtu kuingia, maana ni haki ya kila raia kutoa na kupokea habari
Wewe kweli akili hamna, hapa tunaongelea mustakabali wa taifa. Kwani tunavyowaongelea viongozi wetu ni kila mtu anatakiwa kuwa kiongozi wa ngazi husika?? Nia ni kukuza wigo na watu kubadilika positively.
Jaribu kusikiliza waandishi wa BBC au CNN wakiuliza maswali ndio utaelewa nini maana ya taaluma ya wanahabari.