Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Kazi kubwa kama ya urais hawawezi wakampa mtu wasiyemjua ili kuwa na uhakika wa interest zao kama USA. But ndio macho yangu yanafunguka sasa kujua influence ya CIA na majasusi kwenye mambo yetu mengi. Kwa mbali unaona mtu anapewa lundo la fedha eti ni upinzani, kumbe ni puppet wa CIA. Duuh, sijui kama tutafika. Hiyo offer aliyopewa Tom Mboya ilikuwa ya kufa mtu. $100,000 those old good days.