Kama kawa kama dawa huu ndo mda mzuri wa kutafuta kimiminika cha double au single shots za Bacardi nishushie chakula nirud chap hapo ofisin nikapambane na boss.
Hapa mwendo wa konyagi tuu, beer sijui kwa nini inanichukuwa mda mrefu sama kulewa, Ila kiboko yangu ni hivi vi wine vinaitwa imagi...nikinywa vitatu tuu naenda kulala