barcelonista
Senior Member
- Apr 26, 2021
- 158
- 150
Inafunguka mkuu,Picha haifunguki
Kama kuna Track kafanya mwenyewe narudisha kadi ya CCM [emoji3][emoji3][emoji3]
Na mimi 11 nimesikiliza vionjo vyake itakua yamoto sanaDj Khalid baada ya kufanya vizuri na Album yake ya father of Asad. Sasa amerudi kivingine. Amerudi na Album ya Khalid Khalid itakayo achiwa hivi karibu.
Track gani unahisi itakuwa moto zaidi, kwangu track no 11.
Forgive Me.
View attachment 1767015
View attachment 1767014
Mjinga wewe kwani nimebisha?...mie nimetamani track alofanya solo!Hata wewe unaweza ukawa na album.
Unawatafuta wasanii unawalipa nyimbo zinakuwa Mali yako
Mjinga wewe kwani nimebisha?...mie nimetamani track alofanya solo!
Msanii ni nani?...kumbe naongea na mjingaHuyo NI DJ.
SIO MSANII TOFAUTISHA.
Msanii ni nani?...kumbe naongea na mjinga
Mjinga wewe kwani nimebisha?...mie nimetamani track alofanya solo!
Mjinga ni wewe ambaye hata kuandika tu hujui!Wewe ndo mjinga maan khalid ni Dj wew unaladhimisha aimbe