Album ya DJ Khalid...

sasa, kama ataishusha hivi karibuni, umewezaje kupata vionjo vya hiyo track no. 11? maana siwezi kuangalia title ya track nikaupenda!

una link ambayo wazee wa kazi wamesha ipeleka? hizi ndio resources tunazo hitaji mdau!
 
Huu mzigo asubuhi nilikuwa nataka kuuchukua nione amekuja na nini tena kwenye hii album.
 
Wewe ndo mjinga maan khalid ni Dj wew unaladhimisha aimbe
Mjinga ni wewe ambaye hata kuandika tu hujui!

Na hata Mjingamimi nadhani si mjinga kuliko wewe ambaye hata hujui Msanii ni nani? ama usanii unajumuisha nini!

Ficha upumbavu wako lakini si ujinga wako maana hutakuondoka ukiuficha!
 
Jay Z kamficha Sana Nas ila Hata We Going Crazy Kuna Utundu H.E.R Kaufanya cyo Wa Kawaida.. in short all album Ipo On Point
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…