Leo ni miaka mitatu tangu bingwa wa michano na mkali wa muziki wa kizazi kipya mwenye kipaji cha kipekee Albert Mangwea atutoke.
Ni mazuri yapi unayokumbuka kutoka kwake?
Mimi nakumbuka siku anachukua tuzo ya Kili akatoa speech kwa mtindo wa freestyle.
Pia, nakumbuka wimbo wake remix ya Marques Houston, Clubbin aliufanyia cover ya kiswahili.
RIP CowObamma