Albert Einstein amepoteza tiketi kwenye treni

Haya mambo ya Einstein yananikuta sana siku hizi. Mfano leo mchana nilotoka nyumbani kwenda salon, nikiwa nimepanga nikitoka ninunue sundries, mkaa wa home kisha chakula cha kuku na drinker moja ya kuongeza bandani kisha nipitie kwa wanunua mali used niwaoneshe picha ya madirisha niliyoyabadilisha hivi karibuni, tukikubaliana bei waje wayachukue.

WAkati nimerudi nimepark home nayaona tena yale madirisha backyard ndio nakumbuka sijapitia kwa wale jamaa. Siku hizi nasahau sana vitu kwa style hii.
 
Dah inasikitisha sana, nimelia mno kusikia alikuwa hajui anakoenda 😭

Natamani Seran angekuwepo Miaka hiyo ili amchukue akampe hifadhi kwake mana Nasikia anapenda vibabu vyenye iq kubwa 😎
IQ kubwa napeleka wapi? hujui kutofautisha pesa na Iq kabisa
 
We are cooked
 
mbona hiyo ni kawaida ukiwa na mambo mengi kichwani!
 
kumbaf sana gentleman, dah 🀣
 
Hata humu JF kuna member,leo ataanzisha uzi akiwa yeye ni KE halafu baada ya siku kadhaa ataanzisha uzi mwingine akiwa yeye ni ME,

Kusahau kupo wakuu.
 
Ni hali inatokea mkuu.. ukiona inaanza kua mara kwa mara na haswa kwenye maswala ya msingi adi inaleta impacts chukua hatua.
 
Ni hali inatokea mkuu.. ukiona inaanza kua mara kwa mara na haswa kwenye maswala ya msingi adi inaleta impacts chukua hatua.
Naona kama inakuwa too much. Mara nyingi natoka home napanga nifike carwash niache chombo changu kisha nitembee kwenda ofisini.

Nikisha keti kwenye kiti ofisini ndio nakumbuka chombo sijaiacha car wash kama nlivyopanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…