nkosikazi
JF-Expert Member
- Mar 11, 2010
- 361
- 336
Wakuu nimeona alama nyingi sana kwenye bararabara za Dar ambazo wanataka kuintroduce ili magari yasipite pande hizo. Zinatisha sana! Zimewekwa kila mahali na kama zitatekelezwa hivyo hakutakuwa na barabara inayopitika! Pamoja na kwamba alama za no entry zimewekwa lakini hakuna driver anayezijali na wala hamna anayefanya kazi ya kuzisimamia. Nani kazitengeneza na kwa gharama gani? Kuna utafiti wowote ulitumika kabla ya kuziweka?