Kumekuwa na video inayo sambaa juu ya kibao cha alama za barabarani huko Rusumo - Ngara.
Kwa uelewa wangu ile video ina potosha sana ukweli huyu mtu anaeongea hata hajuii nini maana ya kile kibao.
Kuna vibao vya aina nyingi barabarani ambavyo Dereva anatakiwa kuwa makini navyo. Kuna vibao vya pembe Tatu na Duara, kuna vilivyo andikwa kwa wino mwekundu na mweusi. Vyote hivi vina maana yake na dereva anatakiwa kujua kama alikwenda shule ya udereva lazima uwe umefundishwa.
Kwenye video hii unaona kibao cha duara chenye maandishi meusi na mistari mitatu iliyokatisha.
Nini tafsiri ya alama hii, kwa wale wote wanaopita njia hiyo lazima wawe makini sana.
Kabla ya kibao hicho lazoma nyuma yake kutakuwa na kibao cha kukuonyesha kutembea 50km/h na unapo kutana na hicho kibao chenye rangi nyeusi na mistari mweusi iliyokata ujue kuwa inatakiwa kutembea kwa speed iliyoonyesha kwenye kibao na ile mistari ina simama kuonyesha umbali unaotakiwa kutembea kwa speed hiyo (distance). Kila mstari mmoja unaonyesha mita moja. Kwahiyo mistari mitatu ni mita mia tatu mbele.
Kwa hiyo kibao kipo sehemu sahihi kabisa na kinataka kila dereva kuendesha gari kwa speed ya 50km/h kwa umbali wa wa mita miatatu mbele baada ya hicho kibao.
Huyu ndugu alie rekodi hii vidieo anatakiwa kuelewa hilo. Pia nijambo la kushukuru sana kwa yeye kuleta hii hoja maana nina uhakika itasaidia sana uelewa wa hizi alama za barabarani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Kumbuka kuna kibao cha kwanza chenye Mduara Mwekundu na alama 50KPH. Alama nyekundu kwenye kibao cha mduara ndiyo inayotumika kwenye vibao vya alama za Amri.Kumekuwa na video inayo sambaa juu ya kibao cha alama za barabarani huko Rusumo - Ngara.
Kwa uelewa wangu ile video ina potosha sana ukweli huyu mtu anaeongea hata hajuii nini maana ya kile kibao.
Kuna vibao vya aina nyingi barabarani ambavyo Dereva anatakiwa kuwa makini navyo. Kuna vibao vya pembe Tatu na Duara, kuna vilivyo andikwa kwa wino mwekundu na mweusi. Vyote hivi vina maana yake na dereva anatakiwa kujua kama alikwenda shule ya udereva lazima uwe umefundishwa.
Kwenye video hii unaona kibao cha duara chenye maandishi meusi na mistari mitatu iliyokatisha.
Nini tafsiri ya alama hii, kwa wale wote wanaopita njia hiyo lazima wawe makini sana.
Kabla ya kibao hicho lazoma nyuma yake kutakuwa na kibao cha kukuonyesha kutembea 50km/h na unapo kutana na hicho kibao chenye rangi nyeusi na mistari mweusi iliyokata ujue kuwa inatakiwa kutembea kwa speed iliyoonyesha kwenye kibao na ile mistari ina simama kuonyesha umbali unaotakiwa kutembea kwa speed hiyo (distance). Kila mstari mmoja unaonyesha mita moja. Kwahiyo mistari mitatu ni mita mia tatu mbele.
Kwa hiyo kibao kipo sehemu sahihi kabisa na kinataka kila dereva kuendesha gari kwa speed ya 50km/h kwa umbali wa wa mita miatatu mbele baada ya hicho kibao.
Huyu ndugu alie rekodi hii vidieo anatakiwa kuelewa hilo. Pia nijambo la kushukuru sana kwa yeye kuleta hii hoja maana nina uhakika itasaidia sana uelewa wa hizi alama za barabarani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Kumbuka kuna kibao cha kwanza chenye Mduara Mwekundu na alama 50KPH. Alama nyekundu kwenye kibao cha mduara ndiyo inayotumika kwenye vibao vya alama za Amri.
Mwanzo kuna kibao cha Amri ya kukataza kutembea zaidi ya 50KPH kimezungushiwa rangi nyekundu.
Kibao kitakachofuata kitakua na alama za mkato ambazo Mara nyingine ni mistari minne inategemea tu Mhandisi alitumia mistara mipana kiasi gani. Lakini Amri ili inafikia kikomo kwa kuandikwa na maandishi meusi .
Kwa hiyo unaposema kwamba ile mistari inaonyesha umbali unawachanganya watu mana kuna maeneo mengi sana vibao vya mwisho wa kutembea mwendo huo vimeandikwa na mistari zaidi ya mmoja.
Na kumbuka mwisho wa kibao cha amri huandikwa kwa rangi nyeusi.
Rangi ya Tahadhari/onyo au Amri inakua imezungukwa na rangi nyekundu na alama nyeusi.
Sasa hapo Ngara kibao hicho sio cha Tahadhari wala Amri mana hakina sifa ya kibao cha Amri au Tahadhari ambao ni kuzungukwa na alama nyekundu.
Tofautisha baa hizo unazosema za mistari na zile za Tahadhari eneo la Reli.
Zile za eneo la reli ni alama za Onyo/Tahadhati na zina sifa ile ya kuchorwa kwa kwa kuzungushiwa rangi Nyekundu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumekuwa na video inayo sambaa juu ya kibao cha alama za barabarani huko Rusumo - Ngara.
Kwa uelewa wangu ile video ina potosha sana ukweli huyu mtu anaeongea hata hajuii nini maana ya kile kibao.
Kuna vibao vya aina nyingi barabarani ambavyo Dereva anatakiwa kuwa makini navyo. Kuna vibao vya pembe Tatu na Duara, kuna vilivyo andikwa kwa wino mwekundu na mweusi. Vyote hivi vina maana yake na dereva anatakiwa kujua kama alikwenda shule ya udereva lazima uwe umefundishwa.
Kwenye video hii unaona kibao cha duara chenye maandishi meusi na mistari mitatu iliyokatisha.
Nini tafsiri ya alama hii, kwa wale wote wanaopita njia hiyo lazima wawe makini sana.
Kabla ya kibao hicho lazoma nyuma yake kutakuwa na kibao cha kukuonyesha kutembea 50km/h na unapo kutana na hicho kibao chenye rangi nyeusi na mistari mweusi iliyokata ujue kuwa inatakiwa kutembea kwa speed iliyoonyesha kwenye kibao na ile mistari ina simama kuonyesha umbali unaotakiwa kutembea kwa speed hiyo (distance). Kila mstari mmoja unaonyesha mita moja. Kwahiyo mistari mitatu ni mita mia tatu mbele.
Kwa hiyo kibao kipo sehemu sahihi kabisa na kinataka kila dereva kuendesha gari kwa speed ya 50km/h kwa umbali wa wa mita miatatu mbele baada ya hicho kibao.
Huyu ndugu alie rekodi hii vidieo anatakiwa kuelewa hilo. Pia nijambo la kushukuru sana kwa yeye kuleta hii hoja maana nina uhakika itasaidia sana uelewa wa hizi alama za barabarani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha umenikumbusha safari ya kutoka SA kuja TZ nilikuwa na gari manual 1.3 mpaka unakaonea hurumaUmenikumbusha na kunitamanisha safari zangu za kuendesha umbali mrefu. Nimepamiss Lushoto... Itabidi December hii nisababishe, namaliza gia zote 5 hadi gari inakuwa nyepesii.
Raha ya manual uzimalize gia zote.
Asante kwa maelezo matamu.
Pia kuelimisha wananchi kuacha kujenga makazi kwa kuifuata barabara. Inabidi tuwe kama nchi zilizo endelea. Kijiji kina kuwa mbali na barabara kuu.Nadhani alama hiyo iliwekwa kipindi cha nyuma ambapo makaz ya watu hayakuwa yamekua au kituo hicho cha forodha kuanza kufanya kazi kikamilifu.
Hivyo kuna haja ya tanroads kufanya mabadiliko na mapitio ya alama za barabarani mara kwa mara ili ziendane na hali halisi ya kimazingira kwa kipindi husika.
Mfano; apo icho kibao kinatakiwa kiondolewe na kuwekwa kibao cha tahadhar ya kupunguza spid pamoja na alama kuonyesha kuwa kuna mteremko mkali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsanteni kwa somo la udereva wa kujihamiPia kuelimisha wananchi kuacha kujenga makazi kwa kuifuata barabara. Inabidi tuwe kama nchi zilizo endelea. Kijiji kina kuwa mbali na barabara kuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu mkuu kwenye majukwaa kama haya ndio tunatakiwa kupeana taarifa kama hizi. Maana police wa siku hizi wanaangalia faini tuAhsante waz
Ahsanteni kwa somo la udereva wa kujihami
Sana, kuongeza mapato ya kodi sijui faini sijui mapato ya jiji, halmashauri hata haieleweki ni mapato ya nini =Karibu mkuu kwenye majukwaa kama haya ndio tunatakiwa kupeana taarifa kama hizi. Maana police wa siku hizi wanaangalia faini tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenikumbusha na kunitamanisha safari zangu za kuendesha umbali mrefu. Nimepamiss Lushoto... Itabidi December hii nisababishe, namaliza gia zote 5 hadi gari inakuwa nyepesii.
Raha ya manual uzimalize gia zote.
Asante kwa maelezo matamu.
Nitakusindikiza ili nishuhudie utakavyokuwa unapanga na kupangua gia mubashara kabisa. Tena itapendeza safari ikiwa ndefu zaidi.
ni kweli halafu jamaa analalama kuwa hakuna kibao tena mbele huko na kuna mteremko mkali! tanroad nao ni sehemu ya ushetan wa ajaliMkuu Kumbuka kuna kibao cha kwanza chenye Mduara Mwekundu na alama 50KPH. Alama nyekundu kwenye kibao cha mduara ndiyo inayotumika kwenye vibao vya alama za Amri.
Mwanzo kuna kibao cha Amri ya kukataza kutembea zaidi ya 50KPH kimezungushiwa rangi nyekundu.
Kibao kitakachofuata kitakua na alama za mkato ambazo Mara nyingine ni mistari minne inategemea tu Mhandisi alitumia mistara mipana kiasi gani. Lakini Amri ili inafikia kikomo kwa kuandikwa na maandishi meusi .
Kwa hiyo unaposema kwamba ile mistari inaonyesha umbali unawachanganya watu mana kuna maeneo mengi sana vibao vya mwisho wa kutembea mwendo huo vimeandikwa na mistari zaidi ya mmoja.
Na kumbuka mwisho wa kibao cha amri huandikwa kwa rangi nyeusi.
Rangi ya Tahadhari/onyo au Amri inakua imezungukwa na rangi nyekundu na alama nyeusi.
Sasa hapo Ngara kibao hicho sio cha Tahadhari wala Amri mana hakina sifa ya kibao cha Amri au Tahadhari ambao ni kuzungukwa na alama nyekundu.
Tofautisha baa hizo unazosema za mistari na zile za Tahadhari eneo la Reli.
Zile za eneo la reli ni alama za Onyo/Tahadhati na zina sifa ile ya kuchorwa kwa kwa kuzungushiwa rangi Nyekundu.
Sent using Jamii Forums mobile app