Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,694
- Thread starter
- #121
๐๐๐๐๐..majanga unaweza sema unachat na shost kumbe dume๐Heeee kwa kweli!muda umekuwa mchache ๐
Hizi ID za kuwa nazo makini sana
๐๐๐๐๐..majanga unaweza sema unachat na shost kumbe dume๐Heeee kwa kweli!muda umekuwa mchache ๐
Hizi ID za kuwa nazo makini sana
Hahahaha Joanah namzingua tu jinsia yangu ni ke๐๐Hata mie nimeshangaa ujue
Hahahaha Joanah namzingua tu jinsia yangu ni ke๐๐
Ungeweka na picha ingekuwa muswano muno!!whts wrong!
Ungeweka na picha ingekuwa muswano muno!!
kutoka: 22D Arnold st.
Hahahaha Joanah anajua kweli ni me๐๐๐nilijua unazengua lol
Pole mdada. Mi ushauri wangu kama inawezekana punguza matumizi ya hiyo nguo au tafuta nguo flani hivi inabana matiti na haina mikanda ya begani.
Huwa najisikia vibaya sana mwanamke akijiona tofauti na wenzake maana huwa mnapoteza kujipenda na pia kujiona sio mwenye sifa za uanamke.
So fanya hivyo tafuta nguo inayobana matiti ila haina mkanda. Na zipo shindria/ brazia ambazo hazina mikanda. Ushauri wangu huo mamangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Maadili mkuu!we jua tu inamopita brazia kumeacha alama ya kudum
Hahahaha Joanah namzingua tu jinsia yangu ni ke๐๐
Hahahah haya my dear
Kwani "ke na ke" hawatamaniani?
Sasa hivi kila jinsia unakuwa nayo makini, dunia hatujui tunakoipeleka.
Mie siwezi kumtamani mwanamke mwenzangu aseee...natamani nini kwanza?
Ni kweli kwa upande wako, labda nikuulize swali.
Mpaka ulipofika hapo ulipo, hujawahi kutongozwa na mwanamke mwenzako?
AiseeeNi kweli kwa upande wako, labda nikuulize swali.
Mpaka ulipofika hapo ulipo, hujawahi kutongozwa na mwanamke mwenzako?
mi starii ina sisimua njoo niangalie na yakoHabari zenu wanawake wenzangu..
Hivi hizi alama za brazia huwa inawezekanika kutoka kweli? naamanisha zile sehemu inayopita brazia..inaacha mark mno jaman..nimeanza jichukia
Je kuna dawa yyt au mafuta yyt yanayoweza kusaidia kutoa!?yaan inafikia hatua unashindwa kuvaa backdress..au nguo zifananazo ..kama offshoulder!sio mabegani tu ni had huku mgongoni...itafikia kipindi ht kwenda beach tutaogopa..!hebu nataka jua na nyie zinawatokea..at first nilikua nalala na bra.. (mazoea mabaya)sasa hv nimeacha ila alama bado tu๐ข๐ข๐ข๐ข๐ข!
cc.
Nalendwa ,Shunie espy Heaven Sent Meeyah !
Wala sijawahi
Yani hata picha haiji kabisa ya mwanamke kunitaka
Kuanzia leo usilale na nguo yoyote kwa muda wa miezi mitatu! Mimi nitakuwa nakupitia usiku kuzifuta taratibu!
kutoka: 22D Arnold st.
mie niliwah tongozwa bwana๐๐๐..alikua mdada mtu mzima jm 40 hv amedivorce .sasa sikua namwelewa...anamanisha nn..kila siku ananiambia ww ktoto ww una mapaja mazuri sana na kalio zuri bas napotezea..akaanza nialika kusomea kwake kwake..tukiwa tunasoma ananipapasa mapajani mie sijui kitu kbs..kuna siku akasema aniunganishe niwe model wa kutangaza chupi..mh nikaogopa ..khaa..akaja akaniambia live hahaa nilikuwa naota mandoto mabaya...nw ameolewa tena swedenWala sijawahi
Yani hata picha haiji kabisa ya mwanamke kunitaka