Ingia www.victoriassecret.com wanaonesha jinsi ya kujua size yako.mayb..maana nayo kuna utata..sijui navaaga 32c
Ingia www.victoriassecret.com wanaonesha jinsi ya kujua size yako.mayb..maana nayo kuna utata..sijui navaaga 32c
Asanteee...Ingia www.victoriassecret.com wanaonesha jinsi ya kujua size yako.
Unalala na bra? Kwanini? (Samahani kama unaona nimekengeuka!)Habari zenu wanawake wenzangu..
Hivi hizi alama za brazia huwa inawezekanika kutoka kweli? naamanisha zile sehemu inayopita brazia..inaacha mark mno jaman..nimeanza jichukia
Je kuna dawa yyt au mafuta yyt yanayoweza kusaidia kutoa!?yaan inafikia hatua unashindwa kuvaa backdress..au nguo zifananazo ..kama offshoulder!sio mabegani tu ni had huku mgongoni...itafikia kipindi ht kwenda beach tutaogopa..!hebu nataka jua na nyie zinawatokea..at first nilikua nalala na bra.. (mazoea mabaya)sasa hv nimeacha ila alama bado tu😢😢😢😢😢!
cc.
Nalendwa ,Shunie espy Heaven Sent Meeyah !
Unalala na bra? Kwanini? (Samahani kama unaona nimekengeuka!)
haha nahisi wanapambana na hali zao kimya kimya 😂 😂😂lakini wamama weng8 tu mir nawaona nazo..au huwa haziwaboi😢
Pengine unavaa zinazokubana sana na kwa muda mrefu. Vaa zisizokubana sana pia in a pokies nyumbani usipendelee kuvaa. Vaa pale inapobidi
Sent using Jamii Forums mobile app
haha nahisi wanapambana na hali zao kimya kimya 😂 😂
Acha kuvaa sana bra,pia uwe unapaka mafuta ya nazi
😊😊😊
Hahhha kg 2 ya nn nyonyo auKilo 2
Hahhha kg 2 ya nn nyonyo au
Kwani huku ndio kuna upaja?
Hahahhaha auntie nimecheka sana
Kwani huku ndio kuna upaja?
Hahahha nyonyo la maanateat bibi wee