Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Don Clericuzio comment yangu hapo juu..
Ngoja nii-screenshot niisevu kwenye google drive, for future use (if any).
Don Clericuzio comment yangu hapo juu..
Ziache tu hizo alama, maana maendeleo hayana chama
Sent from my iPhone using JamiiForums
NJE YA MADA!
"BAR" na "BRA" ni maneno yenye herufi zinazofanana japo zipo sehemu tofauti, "BAR" na "BRA" vyote vikifungiliwa vina mfanya mwanaume apagawe, Sasa imagine kuna dem anaitwa BABRA
Hivi Babra na Barbara ni jina moja?
hapana.Hivi Babra na Barbara ni jina moja?
mhhh sio kwel bwanaHapana barbara ni la kiume
Mimi nimesema kutokana na hadithi ya barbara yule jambazi alie achwa huru na wayahudi!mhhh sio kwel bwana
joto..nilivaa khanga shingoni
sasa mgongon kanga ikawa imeshuka
mie top inayabana yanakuwa kama furushi
![]()


Furushi?Hapana barbara ni la kiume
Mtoto chuchu konz mashaallahMimi alama zangu za sports bra zinanivutia sijui ndo ukichaa. Hizo bra za kawaida walaa hazijawahi nitoa alama
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mafuta yanaitwa lukman ni mazuri sana kurudisha ngozi katika rangi yake ya kawaida, hata mtu aliengua moto akiwahi kuyatumia katika stage ya mwanzo hua yanafuta kovu na rangi inarudi kama mwanzo.mhhh sio kwel bwana
Weka pichaMimi alama zangu za sports bra zinanivutia sijui ndo ukichaa. Hizo bra za kawaida walaa hazijawahi nitoa alama
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂
Hayo mafuta yanapatika maduka ya vyakulaKuna mafuta yanaitwa lukman ni mazuri sana kurudisha ngozi katika rangi yake ya kawaida, hata mtu aliengua moto akiwahi kuyatumia katika stage ya mwanzo hua yanafuta kovu na rangi inarudi kama mwanzo.
Maendeleo hayana chama
Dah ningepata kama yako raha tupu 😀😀😂😂😂mie top inayabana yanakuwa kama furushi😂😂
Yanapatikana katika maduka ya dawa za asili ila haswa katika maduka wanayouza dawa za kisuna,Hayo mafuta yanapatika maduka ya vyakula