Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,508
- 8,129
Mkazi wa Dar es Salaam, Denis Mfumbulwa mwenye miaka 44 wa Goba Kulangwa amefikishwa mahakama ya mwanzo ya Kariakoo akidaiwa kujipatia malazi na chakula kwenye hoteli ya Serena kitapeli vyenye thamani ya milioni 21.4
Baada ya kupata huduma, mdaiwa alitokomea kusikojulikana. Mfumbulwa alikana mashtaka hayo. Pamoja na dhamana kuwa wazi, mshtakiwa amebaki rumande baada ya kushindwa masharti yake ya kuwa na bondi iliyosainiwa ya milioni 10.
Mwamba naona alijua ataambiwa tu aoshe vyombo kama wafanyavyo mama ntilie
Pia, soma=> Anayedaiwa kulala na kula Serena kisha kutokomea aachiliwa
Baada ya kupata huduma, mdaiwa alitokomea kusikojulikana. Mfumbulwa alikana mashtaka hayo. Pamoja na dhamana kuwa wazi, mshtakiwa amebaki rumande baada ya kushindwa masharti yake ya kuwa na bondi iliyosainiwa ya milioni 10.
Mwamba naona alijua ataambiwa tu aoshe vyombo kama wafanyavyo mama ntilie
Pia, soma=> Anayedaiwa kulala na kula Serena kisha kutokomea aachiliwa