Jamani Alaf wanakua wazuri kabla mteja hajafanya malipo hua wanakua na maneno mazuri sana ya kumbembeleza mteja. Ila ukishalipia unaonekana takataka, Nimefanya malipo tangu tarehe mbili hadi sasa sijapata mzigo wangu wa mabati kila nikifika wananizungusha wanadai mabati yamekatwa tatizo ni mtandao, Nilidhani ni mimi peke yangu ila kila mteja analalamika sana kutojaliwa baada ya kufanya malipo.
Pia kuna madalali wengi sana yaani ukishaingia getini wamejaa kibao wanakung'ang'ania, wanataka wakupeleke ndani mimi nikawaambia sihitaji kuingizwa na mtu yoyote nikaenda ndani nikafanyiwa mahesabu nikalipa tatizo ni kuupata mzigo, juzi wameniambia mabati yako yako tayari tatizo ni mtandao,
Alaf mnatuchosha Sisi wateja wenu badilikeni ,
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia kuna madalali wengi sana yaani ukishaingia getini wamejaa kibao wanakung'ang'ania, wanataka wakupeleke ndani mimi nikawaambia sihitaji kuingizwa na mtu yoyote nikaenda ndani nikafanyiwa mahesabu nikalipa tatizo ni kuupata mzigo, juzi wameniambia mabati yako yako tayari tatizo ni mtandao,
Alaf mnatuchosha Sisi wateja wenu badilikeni ,
Sent using Jamii Forums mobile app