Magaidi wa Al Qaeda wa Iraq wamesema watafanya mashambulizi 100 kuanzia katikati ya mwezi mtukufu wa Ramadhan ili kulipiza kifo cha kiongozi wao mpendwa Sheikh Osama Bin Laden.
Swali: Hivi hao watakaokufa kwenye hayo mashambulizi yao ndio waliomuua Sheikh Osama Bin Laden?
Hayo maswali uliouliza ungewauliza Wamerekani walipokwenda kushambulia Afghanistan. WaAfghanistan ndio waliwaripua New York?<br />
<br />
Wacha watandikwe wao na vibaraka wao waliowakaribisha Iraq.