Al Nassr FC ya Ronaldo, yampa 'Thank You' Stefano Pioli na wasaidizi wake

Al Nassr FC ya Ronaldo, yampa 'Thank You' Stefano Pioli na wasaidizi wake

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Uongozi wa Al Nassr umethibitisha kuachana na kocha Stefeno Pioli pamoja na wasaidizi wake.

Pioli alijiunga na Al Nassr mwaka 2024, akikiongoza kikosi cha klabu hiyo kwenye michuano ya Ligi Kuu ya Saudia pamoja na Ligi ya Mabingwa Asia msimu wa 2024/25.

Hata hivyo taarifa kutoka Italia zinaeleza kuwa kocha huyo mwenye umri wa miaka 59, amejiunga na klabu ya Fiorentina.

Uongozi wa Al Nassr umemtakia kila la kheri Pioli pamoja na wasiadizi wake katika majukumu yake mapya.

1750846377663.png
 
Back
Top Bottom