Fanya mashambulizi ya kushtukiza kama kunguni, taa ikiwaka tuna nyuti uvunguni




Duuuuh... goli gani na upigaji gani.... khaaahKona ya kwanza wanapata al ahyl
Yeah kadi, kama angecheza leo na akapata kadi yoyote ya njano, basi angeukosa mchezo wa kwanza wa Robo fainali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo simba tunashinda 2 wao waarabu 0
Clearance ya kipumbavu aliyofanya mkude imeigharimu timuMkude hafai, anapoteza Sana pasi
Bado hamjalala tu mpka sasahivi wakati kesho mna mechi na KMCSimba ameliwa nyuma kimoja
Hapana. leo IJUMAADuuuuh... goli gani na upigaji gani.... khaaah
Leo KHAMSA!!
Hahaha... Sannnnnte ScarsHapana. leo IJUMAA