Akupige full sasa!

Hairuhusiwi kukanyaga ardhi ya Tanzania hiyo.
Unamjuaa Mpinga au unamsikiagasikiaga tu., sio mtu wa sport sport.Oohoo,ajali lazima ziishe!!!
Hana lolote huyo mbwembwe tu
 
Hana lolote huyo mbwembwe tu
Ssssssshhhhhhhhhhiiiiiiiiii!!!
angalia wasikusikie utaitwa mchochezi sasa hivi,wanasema kazi ni moja tu kusifia kila mtu na kila kitu,wafanyacho na watamkacho.
 
Huenda dereva ana ulemavu wa macho (kipofu)... kwa taa hizo hata kipofu ataona tuu!...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…