Mlachake
JF-Expert Member
- Oct 13, 2009
- 4,412
- 4,559
BREAKINGNES . AKUTWA AMECHINJWA NDANI YA DALADALA MIYOMBONI IRINGA
Maiti ya mzee Bukuri ikiwa imechinjwa shingo na watu wasiofahamika usiku wa leo ndani ya daladala isiyofanya kazi
Wananchi wa mji wa Iringa wakitazama maiti hiyo leo asubuhi
Daladala iliyokutwa maiti hiyo
Tukio hili la kinyama limetokea usiku wa kuamkia leo katika eneo la Miyomboni katika manispaa ya Iringa ambapo aliyeuwawaamefahamika kwa jina moja pekee la Bukuri na inasadikika alikuwa akijihusisha na kazi za kusaidia kushusha samaki wabichi katika eneo hilo.
Habari kamili ya tukio hili utaipasa katika kipindi cha matukio cha Redio Overcomers Fm (98.6 ) leo saa 1 .00 usiku ama sikiliza Redio wapo Fm kwa wakazi wa jijini Dar es Salaam pia waweza kusoma gazeti la Tanzania Daima kesho Ijumaa,ama katika utaisoma katika mtandao wa http://www.shwari.com/
Courtesy of Francis Godwin
Maiti ya mzee Bukuri ikiwa imechinjwa shingo na watu wasiofahamika usiku wa leo ndani ya daladala isiyofanya kazi
Wananchi wa mji wa Iringa wakitazama maiti hiyo leo asubuhi
Daladala iliyokutwa maiti hiyo
Tukio hili la kinyama limetokea usiku wa kuamkia leo katika eneo la Miyomboni katika manispaa ya Iringa ambapo aliyeuwawaamefahamika kwa jina moja pekee la Bukuri na inasadikika alikuwa akijihusisha na kazi za kusaidia kushusha samaki wabichi katika eneo hilo.
Habari kamili ya tukio hili utaipasa katika kipindi cha matukio cha Redio Overcomers Fm (98.6 ) leo saa 1 .00 usiku ama sikiliza Redio wapo Fm kwa wakazi wa jijini Dar es Salaam pia waweza kusoma gazeti la Tanzania Daima kesho Ijumaa,ama katika utaisoma katika mtandao wa http://www.shwari.com/
Courtesy of Francis Godwin