Akina dada piteni hapa hii inawahusu

Akina dada piteni hapa hii inawahusu

Mapigo1

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2013
Posts
256
Reaction score
90
Hivi inakuwaje mwanamke anasema anakupenda alafu anakupa; Singlendi akitegemea umpe Samsung galaxy, Tai akitegemea Wigi la kibrazil, Vifungo vya
shati akitegemea I PAD, Key holder akitegemea kokoko anakuja mikono mitupu akitegemea umpeleke Mlimani city kula kuku.

Alafu mnaongelea usawa sasa chama cha maboyfriend Tanzania (TBA -Tanzania Boyfriends Association) tumeamua... Singlendi kwa Sidilia, Boxer kwa bikin,, ukileta maua unapewa majani ya mwembe (kwanza vyote ni mazao ya mimea).

Tai kwa kamba kwa ajili ya kufungia vinywele vyake vya asili. Akija mikono mitupu then mnakaa mezani kupiga story (kula kwao)
 
heheheeeee mmetisha andamaneni bas usipotoa wenzio wanatoa
 
RABISHHHHHHHH! Hivi wewe usione tunawachuna kwa speed DID YOU EVER TAKE TIME TO PERUZ HISTORY OF A WOMAN.?
Hata tuwachune kiasi gani haitoshi kulipia damage tuliofanyiwa wanawake century n century. Fikiria wanawake hawahesabiwi zamani ila vitoto vya kiume vidogo ndo vinahesabiwa kama watu!? Mxiuuuuu! Mwanamke hana kauli, hana maamuzi hata aolewe na nani. Mwanamke haendi shule, hafanyi chochote anashinda jikoni tu!
DO YOU THINK WE WILL GIVE UP OUR LONG FOUGHT WITH BLOOD AND SWEAT CHANCE TO BREATH.? Hell no! IFIKE MAHALI WANAUME MUONE YATOSHA MABABU ZENU WALIFAIDI KWA NIABA ZENU!
 
ebwana kweli....mie ndio maana demu akitaka pesa yangu sharti marinda yafumuliwe
 
Hivi inakuwaje mwanamke anasema
ANAKUPENDA alafu Anakupa;
Singlendi akitegemea umpe Samsung galaxy,
Tai akitegemea Wigi la kibrazil, Vifungo vya
shati akitegemea I PAD, Key holder akitegemea
kokoko ... anakuja mikono mitupu akitegemea
umpeleke Mlimani city kula kuku.
ALAFU MNAONGELEA USAWA..
Sasa Chama cha maboyfriend Tanzania (TBA -
Tanzania Boyfriends Association) tumeamua...
Singlendi kwa Sidilia, Boxer kwa bikin,, ukileta
maua unapewa majani ya mwembe (kwanza
vyote ni mazao ya mimea).. Tai kwa Kamba
kwa ajili ya kufungia vinywele vyake vya asili.
Akija mikono mitupu then mnakaa mezani
kupiga story (kula kwao)

Bado upo teenager ukiwa mwanaume utakuwa unazitoa bila kulalama!!!!
 
RABISHHHHHHHH! Hivi wewe usione tunawachuna kwa speed DID YOU EVER TAKE TIME TO PERUZ HISTORY OF A WOMAN.?
Hata tuwachune kiasi gani haitoshi kulipia damage tuliofanyiwa wanawake century n century. Fikiria wanawake hawahesabiwi zamani ila vitoto vya kiume vidogo ndo vinahesabiwa kama watu!? Mxiuuuuu! Mwanamke hana kauli, hana maamuzi hata aolewe na nani. Mwanamke haendi shule, hafanyi chochote anashinda jikoni tu!
DO YOU THINK WE WILL GIVE UP OUR LONG FOUGHT WITH BLOOD AND SWEAT CHANCE TO BREATH.? Hell no! IFIKE MAHALI WANAUME MUONE YATOSHA MABABU ZENU WALIFAIDI KWA NIABA ZENU!

Kwa hiyo mnacopasate kwa kupiga mizinga? Unarudisha thamaman ya kuwa mwanamke kwa style hii au
 
hahaaaaaa
umenichekesha sana, hasa hapa- maua kwa majani ya mwembe,, daaa
 
Back
Top Bottom