Mkuu jioni njema, vipi leo hebu nijuze Mzizima ni wapi exactly?Nimepita pita hapa mjini 'Mzizima' na kugundua kumbe akina mama hasa dada zetu wanapendelea mno usafiri wa pikipiki aina ya 'bajjaj' sijui kwa nini. Mwenye kuelewa jambo hili atujuze.
Mkuu jioni njema, vipi leo hebu nijuze Mzizima ni wapi exactly?
Aaaa ah;Mzizima ni dar es salaam...refer to enzi za ukoloni
Mkuu, nimefarijika na mchango wako.Ni usafiri rafiki (user friendly) kwa kinadada kutokana na maumbile yao na aina ya nguo wanazovaa as opposed to bodaboda linapokuja suala la usafiri private na wa bei nafuu na kama taxi zingekuwa bei nafuu nadhani wengi wangekuwa wanajaa kwenye taxi
Jioni njema mpendwa, Vilivyo hakika nilipatakusoma na kulisikia katika qura'an hata English version .... Jina lina hadhi kubwa... Basi ndiyo Urithi ulobakia.Ni Dar Es Salaam, hili ni jina la Kiarabu ambalo halibadilishwi kama tunavobadili mitaa yake.
Nimepita pita hapa mjini 'Mzizima' na kugundua kumbe akina mama hasa dada zetu wanapendelea mno usafiri wa pikipiki aina ya 'bajjaj' sijui kwa nini. Mwenye kuelewa jambo hili atujuze.
Yawezekana mkuu maana majuzi wakati nikielekea Bunju kila bajaj niliyoiona ni akina mama na akina dada hasa pale Kibaoni.Ni usafir wa haraka&nafuu pia,women prefered bajjaj while men are for motorcycle...!!Matukio mengi sn ya ck za karibun mf mtu kushambuliwa kwa risas,tindikal etc washambuliaj(wanaume)wanakuwa kwenye pkpk
Mkuu hapo (bolded) tufafanulie wewe ni aina gani ya chombo cha usafiri.
VizuriMkuu, nimefarijika na mchango wako.