Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,823
Ndivyo inavyokuwa mara nyingi, akiona umestuka flani umekata mawasiliano na kama alikuwa kwa namna flani amekupenda basi atataka muonane. Huenda kweli amejisikia aibu baada ya kuingia mitini bila kumpa hela ya salanu sh elf kumi na tano . mi binafsi sikupendezwa na kitendo cha kuomba hela ya saluni siku ya pili tu,
cha muhimu mkionana, kama ukiamua, muweke wazi nini mnachopenda na msichopenda kwenye hayo mahusiano kabla ya chochote kile. kuwa wazi tangu mwanzoni ni muhimu sana. baada ya hapo utaweza kujua kama uendelee na uhusiano au la
cha muhimu mkionana, kama ukiamua, muweke wazi nini mnachopenda na msichopenda kwenye hayo mahusiano kabla ya chochote kile. kuwa wazi tangu mwanzoni ni muhimu sana. baada ya hapo utaweza kujua kama uendelee na uhusiano au la