Akili Yangu Inaniambia Yule alieko Jela anaenda Kuachiwa Hivi Karibun Ili Kuzima Aya magumu Aliyoyaongea Bw. Slowslow!

Octoba sitiki

Member
Joined
Jul 15, 2025
Posts
20
Reaction score
30
Naam!
nmeota hivyo leo Mchana kipindi nmepitiwa Usingizi Baada ya kushiba ugali wa mtama na nyama ya kuchoma apa Stendi ya Nyamhongolo Jijini Mwanza Nikiwa safarini kuelekea kumsindikiza mgombea mwenza!

Ndoto yangu imenionesha hakuna namna nyingine ya kufukuza huu upepo tofaut hiyo ya kumuachia Shujaa TL mana kujibu haiwezekani na ata tukijibu ni ngumu kueleweka kwa umma!

Vp mbeumo uko kashaweka?!!
 
Okktoba chitiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…