alohadm
JF-Expert Member
- Dec 23, 2013
- 360
- 157
Mtoto mmoja alimwambia mwalimu wake anataka avushwe darasa ikawa kama ifuatavyo!
Mtoto; mwalimu nataka univushe darasa niingie darasa la 3.
Mwalm; kwann?
Mtoto: nna akili nyingi.
Mwlm akamuuliza. kulikiwa na matofari 20 kwenye ndege likaanguka 1 unabak na mangapi?
Mtoto: hlo rahisi maana yanabaki 19
Mwlm: nipe hatua za kumweka tembo kwenye frige!
Mtoto: unafungua frige unamwingiza tembo na unafunga frige!!
Mwlm: nipe hatua za kumweka nyani kwenye frige
Mtoto: unafungua frige unamtoa tembo unamweka nyani unafunga frige!!
Mwlm: simba anasherekea siku yake ya kuzaliwa wanyama wote walihudhuria kasoro m1 ni nani huyo?na kwa nini
Mtoto:ni nyani kwasababu yupo kafungiwa kwenye frige.
Mwlm:bibi kizee kavuka mto salama wenye mamba na viboko,kwa nini alivuka salama
Mtoto:kwasababu wanyama wote walikuwa kwenye sherehe ya simba
Mwlm:ingawa bibi kizee alivuka salama mto alikuja kufa kwa nini
Mtoto: alikufa kwasababu aliangukiwa na tofari toka kwenye ndege:
Mtoto; mwalimu nataka univushe darasa niingie darasa la 3.
Mwalm; kwann?
Mtoto: nna akili nyingi.
Mwlm akamuuliza. kulikiwa na matofari 20 kwenye ndege likaanguka 1 unabak na mangapi?
Mtoto: hlo rahisi maana yanabaki 19
Mwlm: nipe hatua za kumweka tembo kwenye frige!
Mtoto: unafungua frige unamwingiza tembo na unafunga frige!!
Mwlm: nipe hatua za kumweka nyani kwenye frige
Mtoto: unafungua frige unamtoa tembo unamweka nyani unafunga frige!!
Mwlm: simba anasherekea siku yake ya kuzaliwa wanyama wote walihudhuria kasoro m1 ni nani huyo?na kwa nini
Mtoto:ni nyani kwasababu yupo kafungiwa kwenye frige.
Mwlm:bibi kizee kavuka mto salama wenye mamba na viboko,kwa nini alivuka salama
Mtoto:kwasababu wanyama wote walikuwa kwenye sherehe ya simba
Mwlm:ingawa bibi kizee alivuka salama mto alikuja kufa kwa nini
Mtoto: alikufa kwasababu aliangukiwa na tofari toka kwenye ndege: