Akili ya mtoto huyu

Akili ya mtoto huyu

alohadm

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2013
Posts
360
Reaction score
157
Mtoto mmoja alimwambia mwalimu wake anataka avushwe darasa ikawa kama ifuatavyo!

Mtoto; mwalimu nataka univushe darasa niingie darasa la 3.

Mwalm; kwann?

Mtoto: nna akili nyingi.

Mwlm akamuuliza. kulikiwa na matofari 20 kwenye ndege likaanguka 1 unabak na mangapi?

Mtoto: hlo rahisi maana yanabaki 19

Mwlm: nipe hatua za kumweka tembo kwenye frige!

Mtoto: unafungua frige unamwingiza tembo na unafunga frige!!

Mwlm: nipe hatua za kumweka nyani kwenye frige

Mtoto: unafungua frige unamtoa tembo unamweka nyani unafunga frige!!

Mwlm: simba anasherekea siku yake ya kuzaliwa wanyama wote walihudhuria kasoro m1 ni nani huyo?na kwa nini

Mtoto:ni nyani kwasababu yupo kafungiwa kwenye frige.

Mwlm:bibi kizee kavuka mto salama wenye mamba na viboko,kwa nini alivuka salama

Mtoto:kwasababu wanyama wote walikuwa kwenye sherehe ya simba

Mwlm:ingawa bibi kizee alivuka salama mto alikuja kufa kwa nini

Mtoto: alikufa kwasababu aliangukiwa na tofari toka kwenye ndege:
 
Huyu aende tu Bungeni akashindane na Muhongo na mzee wa Msituni (Komba) na Ole Sendeku
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom