The Technologist
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 1,395
- 2,801
AI ni sawa na wewe ni Mfalme, na AI ni kijana wako, sasa, unamuita AI unamwambia tekeleza kila maagizo utakayopewa na watu ninaowatawala, na mipaka yako ni hii na hii, kumbuka wewe ndio unaweka mipaka.
AI inachukua ulizo lako na kuchakata data zilizopo na kulinganisha na lipi litakuwa jibu la swali lako.
Ni kutokana na data zilizopo, ndio inafanya yale inafanya, haitengezi kitu kipya.
Ni ngumu AI kumreplace binadamu, ni kitu cha msaada.
AI inachukua ulizo lako na kuchakata data zilizopo na kulinganisha na lipi litakuwa jibu la swali lako.
Ni kutokana na data zilizopo, ndio inafanya yale inafanya, haitengezi kitu kipya.
Ni ngumu AI kumreplace binadamu, ni kitu cha msaada.