Muuza Viat
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 2,823
- 7,351
Leo usiku kuna jamaa alikamatwa ndani ya soko la Karume mchikichini akiwa na kidumu cha petroli. Baada ya kutishiwa kudundwa alikiri kuwa amepewa tenda ya kulichoma soko kwa ahad ya kulipwa m1 na mmoja ya mfanyabiashara wa humuhumu sokoni.
Kongole tunawapa walinzi wa soko kwa kufanikiwa kumdhibiti jamaa kabla hajaleta madhara.
Hilo suala lipo chini ya polisi na kama kawaida yao wametuahidi kuwa uchunguzi unaendelea.
huyo mfanyabiashara aliyetoa tenda hana undugu na DP WORLD kweli? anataka kupoteza ramani.Leo usiku kuna jamaa alikamatwa ndani ya soko la Karume mchikichini akiwa na kidumu cha petroli. Baada ya kutishiwa kudundwa alikiri kuwa amepewa tenda ya kulichoma soko kwa ahad ya kulipwa m1 na mmoja ya mfanyabiashara wa humuhumu sokoni.
Kongole tunawapa walinzi wa soko kwa kufanikiwa kumdhibiti jamaa kabla hajaleta madhara.
Hilo suala lipo chini ya polisi na kama kawaida yao wametuahidi kuwa uchunguzi unaendelea.
Aliyempa kazi ya kuchoma alishajisalimisha polisiAtaje wote waliokuwa wanamtuma miaka ya nyuma.
SahihMasuala ya bima haya, unajua utapiga M nyingi za bure
huyo mfanyabiashara aliyetoa tenda hana undugu na DP WORLD kweli? anataka kupoteza ramani.
Makala alijichanganya mwenyewKumbe wanahujumiana wenyewe mwisho wa siku wakamponza Amos Makalla bure
Kumbe ni mdada ndio mdhamini wa tukio?Sahih
Mdada biashara yake ilikua na bima+mikopo ndio maana alijilipua
Hatuna hakika km ni mdhamin au na yey katumwaKumbe ni mdada ndio mdhamini wa tukio?