Ajiua Kwasababu ya Penzi la Mwanaume Mwenzie

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,149
Ndoa ya jinsia moja imesababisha mwanaume ajiue baada ya kukimbiwa na "Mkewe" (Mwanaume mwenzie, shoga) ambaye baadae alianza mapenzi na mwanaume mwingine.

Mchekeshaji maarufu wa nchini Uingereza Matt Lucas ambaye ni shoga alifunga ndoa na mpenzi wake Kevin McGee mwaka 2006 katika harusi ya kukata na shoka iliyohudhuriwa na mastaa wengi wakubwa wa Uingereza.

Lakini ndoa hiyo ya jinsia moja ilivunjika mwaka jana na kuwa ndoa ya kwanza ya watu wa jinsia moja kuvunjika tangia ndoa za watu wa jinsia moja ziliporuhusiwa nchini Uingereza mwaka 2005.

Sababu ya kuvunjika kwa ndoa hiyo ni mchekeshaji Matt Lucas kushindwa kuvumilia matumizi ya madawa ya kulevya ya mumewe.

Kevin ambaye alikuwa na umri wa miaka 32, alizidisha matumizi ya madawa ya kulevya baada ya kuachana na Lucas na baada ya kuona Lucas amepata mwanaume mwingine Kevin aliamua kujiua.

"Kifo ni bora kuliko kuendelea kuishi" ndio ujumbe wa Kevin aliouacha kwenye ukurasa wake wa Facebook masaa machache kabla ya kujiua.
Ndoa ya jinsia moja imesababisha mwanaume ajiue baada ya kukimbiwa na "Mkewe" (Mwanaume mwenzie, shoga) ambaye baadae alianza mapenzi na mwanaume mwingine.

Mchekeshaji maarufu wa nchini Uingereza Matt Lucas ambaye ni shoga alifunga ndoa na mpenzi wake Kevin McGee mwaka 2006 katika harusi ya kukata na shoka iliyohudhuriwa na mastaa wengi wakubwa wa Uingereza.

Lakini ndoa hiyo ya jinsia moja ilivunjika mwaka jana na kuwa ndoa ya kwanza ya watu wa jinsia moja kuvunjika tangia ndoa za watu wa jinsia moja ziliporuhusiwa nchini Uingereza mwaka 2005.

Sababu ya kuvunjika kwa ndoa hiyo ni mchekeshaji Matt Lucas kushindwa kuvumilia matumizi ya madawa ya kulevya ya mumewe.

Kevin ambaye alikuwa na umri wa miaka 32, alizidisha matumizi ya madawa ya kulevya baada ya kuachana na Lucas na baada ya kuona Lucas amepata mwanaume mwingine Kevin aliamua kujiua.
 
Ndoa ya jinsia moja imesababisha mwanaume ajiue baada ya kukimbiwa na "Mkewe" (Mwanaume mwenzie, shoga) ambaye baadae alianza mapenzi na mwanaume mwingine.

Mchekeshaji maarufu wa nchini Uingereza Matt Lucas ambaye ni shoga alifunga ndoa na mpenzi wake Kevin McGee mwaka 2006 katika harusi ya kukata na shoka iliyohudhuriwa na mastaa wengi wakubwa wa Uingereza.

Lakini ndoa hiyo ya jinsia moja ilivunjika mwaka jana na kuwa ndoa ya kwanza ya watu wa jinsia moja kuvunjika tangia ndoa za watu wa jinsia moja ziliporuhusiwa nchini Uingereza mwaka 2005.

Sababu ya kuvunjika kwa ndoa hiyo ni mchekeshaji Matt Lucas kushindwa kuvumilia matumizi ya madawa ya kulevya ya mumewe.

Kevin ambaye alikuwa na umri wa miaka 32, alizidisha matumizi ya madawa ya kulevya baada ya kuachana na Lucas na baada ya kuona Lucas amepata mwanaume mwingine Kevin aliamua kujiua.

"Kifo ni bora kuliko kuendelea kuishi" ndio ujumbe wa Kevin aliouacha kwenye ukurasa wake wa Facebook masaa machache kabla ya kujiua.
Ndoa ya jinsia moja imesababisha mwanaume ajiue baada ya kukimbiwa na "Mkewe" (Mwanaume mwenzie, shoga) ambaye baadae alianza mapenzi na mwanaume mwingine.

Mchekeshaji maarufu wa nchini Uingereza Matt Lucas ambaye ni shoga alifunga ndoa na mpenzi wake Kevin McGee mwaka 2006 katika harusi ya kukata na shoka iliyohudhuriwa na mastaa wengi wakubwa wa Uingereza.

Lakini ndoa hiyo ya jinsia moja ilivunjika mwaka jana na kuwa ndoa ya kwanza ya watu wa jinsia moja kuvunjika tangia ndoa za watu wa jinsia moja ziliporuhusiwa nchini Uingereza mwaka 2005.

Sababu ya kuvunjika kwa ndoa hiyo ni mchekeshaji Matt Lucas kushindwa kuvumilia matumizi ya madawa ya kulevya ya mumewe.

Kevin ambaye alikuwa na umri wa miaka 32, alizidisha matumizi ya madawa ya kulevya baada ya kuachana na Lucas na baada ya kuona Lucas amepata mwanaume mwingine Kevin aliamua kujiua.

Hili Ni JUkwaa la siasa na hii nayo ni siasa au? waliosoma kabla ya mwaka 1992 wanajua definition ya SIASA tafadhari nisaidieni
 
Back
Top Bottom