Ajira

Ajira

nyamboto1

Member
Joined
Apr 22, 2014
Posts
30
Reaction score
5
Game super market wametoa nafasi za kazi nafasi ya manager 2, mwasibu 2 , supervisor 2 , wauzaji wa kawaida 30 , managers , mwasibu na supervisor vigezo ni diploma au degree nafasi zilizobaki vigezo ni kidato cha nne, wanapatikana mlimani city, quality center benjamini p.o box 255575

Barua ya kuomba kazi, barua ya mtendaji wa mtaa bila kusahau wadhamini 3
 
Jamani, jamaa mbona hlo tangazo mbona liko clear na linaeleweka utata uko wapi hapo?
 
Sifa zawaombaji waliosalia niwawe wahitimu wa kidato channe, while izo professionals nikwawenye diploma n degree..
Bila shaka umeelewa mkuu.
 
Deadline lini?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
"Nafasi nyingine 30"zipi hizo?Kwa hiyo kwenye heading pale unapoandika application letter utaandika nafasi nyingine?Ufafanuzi zaidi mkuu.
 
Game?!Kuna dem wangu pale alichangamkia fursa akawalamba then camera zikamuumbua
 
Tunalalamika kazi lkn hata maelezo ya kawaida tu hatuelewi au ndio hatutaki kushirikisha akili zetu tunaposoma kitu?
Tusifanye hivyo jamani,mdau kaleta hapa kuwasaidia watu taarifa ni wapi kazi zip halafu tunandhihaki kiasi hicho???
Endeleeni kuzunguka na bahasha
 
mkuu hayo maombi yanatumwa kwa njia ya posta au yapelekwa moja kwa moja offisini? na deadline ni lini?
 
hili tangazo ni kama yale yanayobandikwa kwenye vituo vya dalala..

kweli kabisa na wale huwa ni matapeli.

adress ya game ni 23113 na sio hiyo aliyoweka huyo. mdau jamani muwe makini na hizo kazi.
 
Game super market wametoa
nafasi za kazi nafasi ya manager 2, mwasibu 2 , supervisor 2 , wauzaji
wa kawaida 30 , managers , mwasibu na supervisor vigezo ni diploma au
degree nafasi zilizobaki vigezo ni kidato cha nne, wanapatikana mlimani
city, quality center benjamini p.o box 255575

Barua ya kuomba kazi, barua ya mtendaji wa mtaa bila kusahau wadhamini
3

vyeti tunaambatanisha??
 
Matapeli wa ajira ni wengi sana!!!
Sitasahau nilifanya interview online ya mwanza community bank,kazi fake na interview fake,jamani na mpunga tukaliwa!!
Siku hz tutaingea mambo ya kazi ukiniomba tu hela,mazungumzo yanavunjika
 
kweli kabisa na wale huwa ni matapeli.

adress ya game ni 23113 na sio hiyo aliyoweka huyo. mdau jamani muwe makini na hizo kazi.

daaah alafu kweli maana na mimi nimeona address tofauti na za game sa cjui jamaa anakusudio gani
 
jamani tuwe na hofu ya mungu, mleta uzi ni TAPELI 100% leo nimeenda game supermarket ya mliman city nakuonana na wahusika, majib ni kwamba HAWAJATANGAZA POST HIZO. Haya ndugu yang mleta mada umetoa wap hiz taarifa? jaman tuwe makin humu jf. Haibiwi mtu imekula kwako jipange upya mkuu ulete uzi mwingine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom