Lugombo Nsesi
Senior Member
- Jun 16, 2016
- 126
- 149
Zoezi la wafanyakazi hewa bado linaendelea? Sina ajira na mtaji pia sina
Acha upimbi!Bado uhakiki wa itikadi za vyama,makabila,dini na vyeti vya ndoa yaani bado sanaa.
Ajira mbona zipo na watu wanaendelea kuajiriwa?Zoezi LA wafanyakazi hewa bado linaendelea? Sina ajira na mtaji pia sina
Haya mandege sasa nani atapanda Kama nguvu kazi ipo mitaani hivi. Waliahidi kila kijiji kupatiwa maji mwaka Jana wakati wa "Ndiyo Mzee"subirini boeing 787 mwaka 2018 mtaajiriwa tu kama mapilots na cabin crew
Hizo ni ajira za makada wa chama cha kijani tuZoezi la wafanyakazi hewa bado linaendelea? Sina ajira na mtaji pia sina
Tunaifuatilia hii ID kwa UkaribuRais amteua profesa wa chuo kikuu kiwa mwenyekiti wa bodi.
Rais amteua mkuu wa wilaya kuwa mwenez wa ccm taifa.
Hizo sio ajira????????
Waache wenye matumbo wapeane kazi nyie wengine ni taka taka no body cares for you.!!!
Tukutane 2020
We are monitoring this ID.Rais amteua profesa wa chuo kikuu kiwa mwenyekiti wa bodi.
Rais amteua mkuu wa wilaya kuwa mwenez wa ccm taifa.
Hizo sio ajira????????
Waache wenye matumbo wapeane kazi nyie wengine ni taka taka no body cares for you.!!!
Tukutane 2020