MWANAJAMIA
Member
- Oct 21, 2016
- 47
- 45
Usikufuru shukuru ulichonacho aliekupa anaweza kukupokonya akampa yule anaetafuta,wengi walimiliki kazi na mali leo wapo vitandani wanasaidiwa,unapojibu assume ni wewe,kauli zinaponzaHebu nenda tembelea vijijini, ajira zimejaa zinakosa waajiriwa.
Wenzako wanamawazo ya kupunguza idadi ya watumishi we unaulizia kazi mkuu utapoteza muda wako, chakarika kivingine mkuuHivi hizi ajira ziko wapi?
mkuu wewe upo kijijini?Hebu nenda tembelea vijijini, ajira zimejaa zinakosa waajiriwa.
Na mwambie pia ajue ajira 2020Hebu nenda tembelea vijijini, ajira zimejaa zinakosa waajiriwa.