Tanzanian kid
Member
- Apr 1, 2025
- 98
- 143
Habari za muda huu watu wa JF.
Samahani kwa kuwachosha pia poleni na majukumu ya kazi za hapa na pale
Nauliza kuhusu nafasi za kazi kwa mtu aliyesoma diploma ya information technology au degree maana nimepitia nyuzi nyingi sana humu sijaona wakiongelewa huenda wengi wamejiajiri tofauti na walio ajiriwa makusudio ni nafasi za ajira kwa serikalini kwa watu wa IT
Samahani kwa kuwachosha pia poleni na majukumu ya kazi za hapa na pale
Nauliza kuhusu nafasi za kazi kwa mtu aliyesoma diploma ya information technology au degree maana nimepitia nyuzi nyingi sana humu sijaona wakiongelewa huenda wengi wamejiajiri tofauti na walio ajiriwa makusudio ni nafasi za ajira kwa serikalini kwa watu wa IT