Ajira za watendaji wa vijiji

Ajira za watendaji wa vijiji

Tatizo tuliosomea fani ya ualimu hawatutaki,
 
Ndo nafasi za kazi zilizo baki tz, mambo yanabadirika, zamani kimbilio ilikuwa uwalimu na polisi, ckuiz utendaji.
 
Hamna kitu hapo tushaomba sana hata kuitwa hatuitwi
 
Ndo nafasi za kazi zilizo baki tz, mambo yanabadirika, zamani kimbilio ilikuwa uwalimu na polisi, ckuiz utendaji.
We apply kiongozi,hizi kazi wakati mwingine huwa ni kama ticket ya kufikia kule unapotaka kwenda. Good luck
 
U
Namimi Natafuta ajira mkuu Naomba nisaidie!
Zikitoka nafasi unabidi kuomba then andaa na connection ili uingie kwa job hizo Kazi za 700k sio Kazi in such lakin unaweza Kupata mtaji wa kukufanya Kupata Biashara ya maana so yangu ndo hayo , sabato njema
 
Back
Top Bottom