Ajira za waliosoma agromechanisation

Ajira za waliosoma agromechanisation

Mkonongo

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2013
Posts
313
Reaction score
189
Amani kwenu wanafikra.
Imepita miaka mitatu mfululizo sasa tangu serikali iache kuajiri maafisa kilimo(agro-technicians), psrs wanatoa matangazo ya mara kwa mara kwa fani zingine za kilimo lakini si agro technician. Je ni nini hatima ya hawa wahitmu wa Agro-mechanisation?? Hii sera ya kilimo kwanza inatekelezwaje??
 
Amani kwenu wanafikra.
Imepita miaka mitatu mfululizo sasa tangu serikali iache kuajiri maafisa kilimo(agro-technicians), psrs wanatoa matangazo ya mara kwa mara kwa fani zingine za kilimo lakini si agro technician. Je ni nini hatima ya hawa wahitmu wa Agro-mechanisation?? Hii sera ya kilimo kwanza inatekelezwaje??

Unamaanisha Agricultural Engineers?
 
Unamaanisha Agricultural Engineers?

Hapana, kuna course inaitwa Agro-mechanization inatolewa na chuo cha MATI MLINGANO Tanga kwa ngazi ya diploma. mwanzoni walikuwa wanaajiriwa moja kwa moja na serikali.
 
Watajiajiri.mbona kozi nzuri kujiajili hasa private sector
 
Siku hizi hakuna cha moja kwa moja. Waliacha huo mchezo, yaani tangia wizara ya kilimo ikabidhi mamlaka ya kuajili kwa PSRS imekuwa majanga ndugu yangu. Tafuta utapata job kwa private sector, lakini kwa serikali utapiga written interview nyingi kadri ya uchumi wako pia km huna bahati utaishia kumaliza pesa yako ktk kwenda kufanya usaili DAR, either kigamboni, DUCE, Maktaba, etc. Kila laheri mm mwenzio (Agric Econ & Agrib) nazunguka na NGO's maisha yanasonga. Nadharau hata nikiona tangazo linalonihusu sana
 
Wajiajiri,si vijijini kwao kuna mashamba au mifugo!! Watz tunakosa fulsa tunasubiri kuajiriwa tu?
 
Back
Top Bottom