Ajira za walimu 2014.

Ajira za walimu 2014.

Dr Salla

Member
Joined
Aug 22, 2013
Posts
16
Reaction score
22
Tuna Upungufu wa Walimu Mashuleni wakati walimu wapo Mtaani wanazurura. Tunadaiwa tril.22 na bado tunakopesheka badala ya kusema kuwa tuna uwezo wa kulipa. Nitatangaza majina ya wabunge wa bunge maalum la katiba Jumatatu au Jumanne mwisho Mhe. awaasa viongozi wa vyama vya siasa kuhusiana na kuacha misimamo yao kwenye bunge la katiba.

Hii Ndiyo Tanzania. Hatma yake ni ipi?
 
Mkuu mada yako haina mtiririko mzuri, ipange ieleweke au hukufundishwa uandishi wa insha!?
 
Lazima utakuwa umetoroka Mirembe maana ulichokiandika unakijua mwenyewe!
 
Tuna Upungufu wa Walimu Mashuleni wakati walimu wapo Mtaani wanazurura. Tunadaiwa tril.22 na bado tunakopesheka badala ya kusema kuwa tuna uwezo wa kulipa. Nitatangaza majina ya wabunge wa bunge maalum la katiba Jumatatu au Jumanne mwisho Mhe. awaasa viongozi wa vyama vya siasa kuhusiana na kuacha misimamo yao kwenye bunge la katiba.

Hii Ndiyo Tanzania. Hatma yake ni ipi?
bila shaka utakuwa mwl unasubiri hizi ajira toa siku kidogo utapata updates juu ya hizo ajira haina haja ya kuja na kejeri hapa, habari yenyewe haina mpangilio mzuri!
 
Back
Top Bottom