Hujajiandaa kisaikolojia? usiamini sana hii serikali wanachokitamka, tafuta sehemu ujishikize si umeona benchi ambalo wenzako wamekaa.Duuu noma
Kweli kabisa apa akuna namna,kila siku abari mpya tuuHujajiandaa kisaikolojia? usiamini sana hii serikali wanachokitamka, tafuta sehemu ujishikize si umeona benchi ambalo wenzako wamekaa.
hivi na wewe ni mwalimu?mbona umeandika kama vile mwanafunziIv na waliomaliza 2016 wao awausiki na ajira zitakazo toka ? Mbona wao wajahambiwa watume vyeti
watoto wetu wameumiahivi na wewe ni mwalimu?mbona umeandika kama vile mwanafunzi
hivi na wewe hujaona tatizo huko chuo sijui huwa mnaenda kusomea ujinga?Mwanafunzi anaandikaje? Na unazungumzia mwanafunzi yupi? Ata mtu anaesoma phd ni mwanafunzi
watoto wetu wameumia
utakuta naye analilia ajirawatoto wetu wameumia
Ccm nawachukia sana lakin kuajir mtu kama ww kwa uandish huu. YAN MKUU UNATAKA UAJIRIWE THEN UJE UFUNDISHE WATOTO WETU HUKU? Acha masiharaIv na waliomaliza 2016 wao awausiki na ajira zitakazo toka ? Mbona wao wajahambiwa watume vyeti
WEKA HAPA USHAHIDI WA VIDEO AKISEMA.mheshimiwa waziri amesema ikama ya walimu wa masomo ya sanaa inatosha na kuna ziada watakachofanya ni kuhamisha walimu kutoka walikolundikana mpaka kwenye upungufu.Swali langu mbona hawajatupa takwimu ya walimu waliopo kwa kila somo la sanaa na mahitazji na hiyo ziada maana isije ikawa ziada ipo kumbe kwenye somo moja au mawili tu
"Ata" ninafikiri unamaanisha "hata" ndio maana ameuliza wewe ni mwalimu ?Mwanafunzi anaandikaje? Na unazungumzia mwanafunzi yupi? Ata mtu anaesoma phd ni mwanafunzi
Iv,??? awausiki ??? wajahambiwaIv na waliomaliza 2016 wao awausiki na ajira zitakazo toka ? Mbona wao wajahambiwa watume vyeti
kama ni mwalimu wamefanya jambo jema kuto kukuajiri maana ingekuwa shida tupuasante mkuu, hawa ndiyo aina ya walimu wetu wanaolilia ajira tena husijeshangaa ni mwalimu wa lugha"Ata" ninafikiri unamaanisha "hata" ndio maana ameuliza wewe ni mwalimu ?