chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 20,711
- 31,325
Habari wadau!
Hawa jamaa wametangaza kazi lakini wameweka limit ya GPA.
Sasa kuna post inataka gpa ya 3.5 na mi nina 3.4 ila nina uzoefu katika kazi hiyo na ndio ninayofanya sasa, hivi niombe hivyo hivyo au watanichinjia tu baharini?
dumejike hata kama una GPA ya 10000 jinsia yako itakukwaza,hata pale wana vyoo vya ke na me,hata fomu za ajira zina sehemu ya ke ne me,nenda kwa obama
Last edited by a moderator: