Utakatwa tu..usijisumbue.
Afu kama ulikua hujui,process ya interview inaanzia wkt wa application,ukishndwa kufuata maelekezo ni kwamba umefeli tayari.
Afu kama ulikua hujui,process ya interview inaanzia wkt wa application,ukishndwa kufuata maelekezo ni kwamba umefeli tayari.
Habari wadau!
Hawa jamaa wametangaza kazi lakini wameweka limit ya GPA.
Sasa kuna post inataka gpa ya 3.5 na mi nina 3.4 ila nina uzoefu katika kazi hiyo na ndio ninayofanya sasa, hivi niombe hivyo hivyo au watanichinjia tu baharini?
watakukata 2
Kucertify vyeti so lazima niliomba NAO wameniita
Wewe peleka tu kwani GPA hiyo wanatafuta waalimu, wewe jaribu kama gharama siyo kubwa (certified vyeti ni gharama kwani mawakili wa bongo wanadai 20,000/= kwa kila cheti siku hizi). Kuna uwezekano wasipate hao watu hivyo wewe ukapeta. Usiwasikilize wakatisha tamaa kama jamaa hapo juu.
Hivi ni lazima vyeti viwe certified? Mbona mimi sijawahi kucertify changu hata kimoja? Au ndo mana sipat kazi?
kazi nyingi za kutoka serikalini huwa zinahitaji GPA nzuri!
kazi nyingi za kutoka serikalini huwa zinahitaji GPA
Acha kudanganya watu