Brother James
JF-Expert Member
- Feb 21, 2012
- 233
- 172
Wana jamvi, naomba msaada wa kujibiwa maswali yafuatayo hapo chini:
UTANGULIZI:
Kijana wangu kapangwa ajira ya ualimu wa sekondari ktk Halmashauri ya Itilima, mkoa mpya wa SIMIYU, kwa uzalendo wa hali ya juu nimemshauri aende akafanye kazi kwani Tanzania ni yetu sote na ajira ni popote.
Nimemshauri hivyo angali sina hata ramani ya eneo husika, sasa basi weye unayeifahamu vizuri ITILIMA tafadhali msaada wako kwenye tuta ili tumshushe huyu kijana kwa kunijibu maswali hay;
1. Itilima ina shule ngapi? zitaje kwa majina please
2. Nimeambiwa kuna itilima town na rural, naomba utenganishe shule hizo za sekondari kwa kuzionyesha kuwa hizi ni za vijijini na hizi ni za pale mjini
3. Ni usafiri upi utampeleka moja kwa moja hadi itilima (nitajie na nauli zake pls) kama atapandia ubungo, ingawaje yeye yupo Tanga.
4. Vipi kuhusu changamoto za mahitaji ya muhimu (maji, malazi, mavazi, usafiri, chakula,utamaduni) ajipangeje-yeye ni binti
5. Mengineyo kama unaweza kuniongezea nitashukuru.
PAMOJA TUTAIJENGA NCHI YETU
UTANGULIZI:
Kijana wangu kapangwa ajira ya ualimu wa sekondari ktk Halmashauri ya Itilima, mkoa mpya wa SIMIYU, kwa uzalendo wa hali ya juu nimemshauri aende akafanye kazi kwani Tanzania ni yetu sote na ajira ni popote.
Nimemshauri hivyo angali sina hata ramani ya eneo husika, sasa basi weye unayeifahamu vizuri ITILIMA tafadhali msaada wako kwenye tuta ili tumshushe huyu kijana kwa kunijibu maswali hay;
1. Itilima ina shule ngapi? zitaje kwa majina please
2. Nimeambiwa kuna itilima town na rural, naomba utenganishe shule hizo za sekondari kwa kuzionyesha kuwa hizi ni za vijijini na hizi ni za pale mjini
3. Ni usafiri upi utampeleka moja kwa moja hadi itilima (nitajie na nauli zake pls) kama atapandia ubungo, ingawaje yeye yupo Tanga.
4. Vipi kuhusu changamoto za mahitaji ya muhimu (maji, malazi, mavazi, usafiri, chakula,utamaduni) ajipangeje-yeye ni binti
5. Mengineyo kama unaweza kuniongezea nitashukuru.
PAMOJA TUTAIJENGA NCHI YETU