Ajira ya udereva Hotelini

Ajira ya udereva Hotelini

dndagula

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2016
Posts
1,634
Reaction score
1,675
Kuna nafasi ya udereva hotel ya Lahe Mwanza, mwombaji awe na sifa zifuatazo

Umri miaka 21-30

Awe na cheti cha Veta cha kuhitimu mafunzo ya udereva
Vyeti vya kundesha gari

Uwezo wa kuendesha gari safari ndefu.

Maombi yapelekwe kwa meneja wa hoteli kabla ya tarehe 10.7.2023 ukiambatanisha nyaraka sahihi SLP 6129 Mwanza.lahehotels@gmail.com.simu 0655290084.
 
Kuna nafasi ya udereva hotel ya Lahe Mwanza, mwombaji awe na sifa zifuatazo

Umri miaka 21-30

Awe na cheti cha Veta cha kuhitimu mafunzo ya udereva
Vyeti vya kundesha gari

Uwezo wa kuendesha gari safari ndefu.

Maombi yapelekwe kwa meneja wa hoteli kabla ya tarehe 10.7.2023 ukiambatanisha nyaraka sahihi SLP 6129 Mwanza.lahehotels@gmail.com.simu 0655290084.
Ahsante kwa taarifa
 
Back
Top Bottom