Ajira ya muda mfupi kwa Afisa Mauzo na Masoko

Ajira ya muda mfupi kwa Afisa Mauzo na Masoko

kingjohn255

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2018
Posts
403
Reaction score
520
Anatafutwa kijana mmoja wa mauzo na masoko kwa ajira ya mkataba wa muda mfupi.

Vigezo: Awe na uelewa na maswalawala ya forodha (uagizaji na uondoaji wa mizigo bandarini)

Jinsia ya kike au kiume mwenye umri kuanzia miaka 18 hadi 45 anaeweza kujisimamia mwenyewe

Kama umevutiwa au una sifa za kuomba nafasi hii tuma CV yako kupitia email ifuatayo
joexgroup@yahoo.com

Mwisho wa maombi haya ni 31 May 2025 saa 2359
NB: Inashauriwa awe kijana anaeishi Dar Es Salaam au mkoa jirani na Dar kutokana na kazi kua ya mda mfupi wa kuanzia miezi 3 hadi 6 tu kutokana na uchapakazi wake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom