Ajira wizara ya elimu.

Ajira wizara ya elimu.

Lazmas

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2010
Posts
561
Reaction score
111
Hivi ni lini serikali itatangaza ajira kwa waalimu? Hakuna mwenye kujua ni lini ajira zitatoka?
 
Mwezi wa 7,baada ya budget kupitishwa.endelea na shughuli nyingne kwa sasa.
 
Cjawahi kuona serikali ya kijinga na kipuuzi kama hii ya Tanzania, yaani shule zimefunguliwa wanafunzi wanalia hawana waalimu na wakati waalimu wamejaa mitaani hawana ajira. Only in Tanzania!
 
Mwezi wa 7,baada ya budget kupitishwa.endelea na shughuli nyingne kwa sasa.

Itakuwa wanasubiri kuwasiliana na wahisani si unajua bajeti za kwenye makaratasi na marekani ndo hiyo ilikuwa kwenye uchaguzi! hapo watatoa wiki moja wanakwambia ukaripoti ndani ya siku saba ulikopangiwa Lindi na uko Mwanza hadi upate nauli shughuli
 
Ndani ya mwezi huu kuanzia sasa kama wewe ni mwalimu jiandae kwenda uliko pangiawa vijijini hakuna cha mjini mwaka huu.
 
watanzania wameathirika kiakili hadi wasomi. Eti hakupa pesa. Duu mawazo na fikra finyu hizo.
 
Cjawahi kuona serikali ya kijinga na kipuuzi kama hii ya Tanzania, yaani shule zimefunguliwa wanafunzi wanalia hawana waalimu na wakati waalimu wamejaa mitaani hawana ajira. Only in Tanzania!
ulitaka siku wanafunzi wanafungua ndo na waalimu waajiriwe siku hiyo hiyo? tehe! tehe! tehe!
 
Cjawahi kuona serikali ya kijinga na kipuuzi kama hii ya Tanzania, yaani shule zimefunguliwa wanafunzi wanalia hawana waalimu na wakati waalimu wamejaa mitaani hawana ajira. Only in Tanzania!

Ndo maana inatakiwe iwe kwenye maajabu ya dunia kwa kuvunja rekodi ya kuwa nchi pekee isiyojali elimu
 
Leo wametangaza kwene gazeti la habari leo.. Maticha 27,000 kuajiriwa januwari hiyi.
 
Cjawahi kuona serikali ya kijinga na kipuuzi kama hii ya Tanzania, yaani shule zimefunguliwa wanafunzi wanalia hawana waalimu na wakati waalimu wamejaa mitaani hawana ajira. Only in Tanzania!

imbombo ngafu
 
Leo nilisikia kwa mbali kwenye uchambuzi magazeti ila sijaipata vyema kuwa walimu wapya wameajiriwa ila bado kuna uhaba wa walimu 140,000 hivi. hatahivyo, mwenye info za kuaminika zaidi atujeze. Jf ni jumba la kila kitu
 
Komaeni tu ajira ztaendelea kuwapo na leo Mtanzania wametangaza ila uhaba hautakoma kwani kuna Shule zenye walimu wanaokaa tu! Mfano mzuri Kigoma Sekondari iliyoko Kigoma ina Waalimu wengi tu ambao wanastahili kwenda kufundisha form 1-4 mana shule ina A-Level tu lkn ni zaidi ya miaka 4 wapo tu hawana kazi wakati kuna shule hakuna walimu. Mulugo a.K.a Amin wizara yenu ina kazi ya ziada.
 
Back
Top Bottom