Ajira wizara ya elimu.

Ajira wizara ya elimu.

Bora iwe hivyo, maana uvumilivu unatushinda, wengine wamekata tamaa wametafuta channel nyingine.
 
Ajira za walimu zimetangazwa, pamoja na mahitaji kuwa ni makubwa bado wahitimu wengi hawajapata ajira hizo. Kwa nini tunalalama upungufu wa walimu wakati tuna wahitimu wengi tu?
 
ni vema kama tungewekeza katika elimu kwa kuweka na kusimamia mikakati,mikakati ambayo itatoa elimu bora na si bora elimu.
 
1.Majengo na vitendea kazi vya kutosha.
2.Lipa waalimu vizuri ili upate waalimu wazuri.
3.Rahisisha au ondoa kabisa gharama za ujifunzaji na ufundishaji.
3.motivate waalimu na wanafunzi wanao fanya vizuri.
4.usimamizi wenye kuzingatia maadili ya kazi na si vinginevyo.
 
Back
Top Bottom