MITOCHONDRIA
Senior Member
- Feb 21, 2013
- 147
- 34
Hivi hapo wizara ya afya kuna nini, mbona wao ndio peke yao hawajapewa kibali cha kuajiri, na hicho kibali wanapewa lini, mana tumeona utumishi wametoa ajira, wizara ya elimu pia. Vp hawa wenzetu au wanajiajili kwanza zitakazobaki ndio watuletee akin yahe tugombanie. Naomba kuwasilisha