Maganga Mkweli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2009
- 2,089
- 829
duh sisi wa lower second ndio basi tena
hawa jamaa sijui wanachofikiria wao wanataka watu wenye ufaulu wa daraja la kwanza na la pili la juu sijui kama watapata watu kuna baadhi ya shahada nchini mwetu hazipo sijui itakuwaje ngoja tusubiri tuone
tuma maombi wakachuje wenyewe... jambo la msingi ambalo nimeliona na muhimu ni kuzingatia masharti yale jumla hasa lile linataka kuapply nafasi moja tu regardless ya kama ume qualify post nyingine ....
wametunyanyapa aiseee!!
Vilaza utawajua tu eti hakuna 1st wala 2nd classs??! Seriously nchi nzima hakuna ...... Aaaaa cha wacha utani bwana mdogo wacha vipanga wale matunda ya kumesha nkurumah hall wakipiga msuli ww uliekuwa mwenyej wa club le mambo subir za serkali mwez wa tsa ajira laki nane (8) zaja
hawa jamaa sijui wanachofikiria wao wanataka watu wenye ufaulu wa daraja la kwanza na la pili la juu sijui kama watapata watu kuna baadhi ya shahada nchini mwetu hazipo sijui itakuwaje ngoja tusubiri tuone
Hayo madaraja wanayoyataka tunayo ila ndo ivo hizo kazi wanapeana kwa kujuana
hawa jamaa wanakera sana ...na habari yao ya first class na upper second....wengine vyuo vyetu kupata hiyo upper second ni kama ndoto vileee.....mbaya zaid shirika hili ni mali ya umma
Applicant should not apply in more than ONE position
hii nimeipenda
nina lower lakina natuma tu hivyo hivyo, first na uper kwani tunaenda kufundisha huko waache ukichaa wao watuambie sasa sisi tuende wapi, ukimaliza chuo bhana hata kama una pass we ni jembe. vinginevyo unge disco alaa.
MODE OF APPLICATION
 Interested and suitable candidates should ensure that their
applications along with their curriculum vitae, indicating current telephone
contacts are received by 14th February, 2014.
 Photocopies of relevant certificates and one recent passport size
photograph should be attached with the hand written application letter.
 All application should be directed through Postal Services, Hand Delivery will
not be accepted
 Each applicant should indicate two names of referees.
 Each applicant should indicate the Number and Title of Job Position applied
for and preferred Work Station on the envelope and in the application letter.
 Applicant should not apply in more than ONE position
 All Applicants holding foreign universities certificates should attach TCU
approval certificate.
 Application without relevant documents will not be considered.
 Only short listed candidates will be contacted.
NOTE: Failure to observe any of the above conditions, the application will not be
considered
For more information visit Tanzania Petroleum Development Corporation
APPLY TO:-
MANAGING DIRECTOR,
TANZANIA PETROLEUM DEVELOPMENT CORPORATION, BENJAMIN
W. MKAPA TOWER A, AZIKIWE/JAMHURI STREET P.O.BOX 2774,
DAR-ES-SALAAM,
TANZANIA.
A working experience in the related field will be an added
advantage.