Ajira portal

Ajira portal

Frank Sosthenes

New Member
Joined
Jun 3, 2018
Posts
4
Reaction score
4
Ndugu zangu napenda kujua hivi inakuwaje kwenye mfumo wa ajira portal nilifanya application nikawa shortlisted nkaenda written na oral nikaenda sasa ile application nilifanya sahivi kwenye ajira portal haionekani tatizo ni nini hapo.. Wakati ndo muda wa kusubiri matokeo kama nitapangiwa kazi au laa
 
Ndugu zangu napenda kujua hivi inakuwaje kwenye mfumo wa ajira portal nilifanya application nikawa shortlisted nkaenda written na oral nikaenda sasa ile application nilifanya sahivi kwenye ajira portal haionekani tatizo ni nini hapo.. Wakati ndo muda wa kusubiri matokeo kama nitapangiwa kazi au laa
Taasisi gan
 
Ndugu zangu napenda kujua hivi inakuwaje kwenye mfumo wa ajira portal nilifanya application nikawa shortlisted nkaenda written na oral nikaenda sasa ile application nilifanya sahivi kwenye ajira portal haionekani tatizo ni nini hapo.. Wakati ndo muda wa kusubiri matokeo kama nitapangiwa kazi au laa

Itakua shida tu ya kimtandao
 
Hapo ushapigwa kekundu mazee. Hivi huwa mnazani hiyo ajira portal inaendeshwa na malaika??
 
Wakati ndo muda wa kusubiri matokeo kama nitapangiwa kazi au laa
Sawa, hongera, matokeo ya usaili wa mahojiano huwa hayawekwi kwenye akaunti ya msailiwa, hutolewa tangazo la kuitwa kazini kwenye tovuti ya sekretarieti, hivyo tembelea tovuti mara kwa mara
 
Sawa, hongera, matokeo ya usaili wa mahojiano huwa hayawekwi kwenye akaunti ya msailiwa, hutolewa tangazo la kuitwa kazini kwenye tovuti ya sekretarieti, hivyo tembelea tovuti mara kwa mara
Nyongeza....!! Kwenye Account ya Msailiwa kitakachoonekana ni status ya SHORTLISTED FOR ORAL, ukiona status hii ipo kwa muda mrefu na ulisha fanya Usaili wa Mazungumzo basi jiandae kuripoti kazini.

Nakama ulisha fanya usaili wa Mazungumzo status ikawa NOT SHORTLISTED FOR ORAL, basi tujipanfe kwa saili zijazo.

Ahsante.
 
Nyongeza....!! Kwenye Account ya Msailiwa kitakachoonekana ni status ya SHORTLISTED FOR ORAL, ukiona status hii ipo kwa muda mrefu na ulisha fanya Usaili wa Mazungumzo basi jiandae kuripoti kazini.

Nakama ulisha fanya usaili wa Mazungumzo status ikawa NOT SHORTLISTED FOR ORAL, basi tujipanfe kwa saili zijazo.

Ahsante.
Samahan mkuu unaeza fafanua vizuri hapa
 
Mkuu mbona wanasema status kwenye web Huwa haibadiliki
Ukiitwa Written ukapata Pass Marks za kwenda Oral status ina change itasoma " SELECTED FOR ORAL" ukifanya oral then status ikabakii "SELECTED FOR ORAL" uwezekano wa kuwa umefaulu oral ni mkubwa, na itabaki hivyoo hadi siku utakayo report kwenye kituo chako cha kazi.

Ahsante.
 
Ukiitwa Written ukapata Pass Marks za kwenda Oral status ina change itasoma " SELECTED FOR ORAL" ukifanya oral then status ikabakii "SELECTED FOR ORAL" uwezekano wa kuwa umefaulu oral ni mkubwa, na itabaki hivyoo hadi siku utakayo report kwenye kituo chako cha kazi.

Ahsante.
Shukrani kwa ufafanuzi mkuu ngoja tuendelee kusubiri
 
Ukiitwa Written ukapata Pass Marks za kwenda Oral status ina change itasoma " SELECTED FOR ORAL" ukifanya oral then status ikabakii "SELECTED FOR ORAL" uwezekano wa kuwa umefaulu oral ni mkubwa, na itabaki hivyoo hadi siku utakayo report kwenye kituo chako cha kazi.

Ahsante.
BLACKLIST 12 Natumaini hapa tupo pamoja Mkuu.
 
Back
Top Bottom