Frank Sosthenes
New Member
- Jun 3, 2018
- 4
- 4
Ndugu zangu napenda kujua hivi inakuwaje kwenye mfumo wa ajira portal nilifanya application nikawa shortlisted nkaenda written na oral nikaenda sasa ile application nilifanya sahivi kwenye ajira portal haionekani tatizo ni nini hapo.. Wakati ndo muda wa kusubiri matokeo kama nitapangiwa kazi au laa