G gorilla 1 JF-Expert Member Joined Apr 28, 2021 Posts 202 Reaction score 122 Aug 8, 2022 #81 Yakunle said: Barua ya Serikali ya Mtaa nasikia inakubalika Click to expand... Hii barua ndo inatumika kwa wale wasio na kitambulisho Cha NIDA but Wana namba ya NIDA tu ?
Yakunle said: Barua ya Serikali ya Mtaa nasikia inakubalika Click to expand... Hii barua ndo inatumika kwa wale wasio na kitambulisho Cha NIDA but Wana namba ya NIDA tu ?
G gorilla 1 JF-Expert Member Joined Apr 28, 2021 Posts 202 Reaction score 122 Aug 8, 2022 #82 S Sijapanick brother, nataka nijuwe tu Ili nijiandae, and off course sijawa shortlisted bado.
yungsteval JF-Expert Member Joined Feb 21, 2014 Posts 309 Reaction score 109 Aug 8, 2022 #83 nicnicholos said: Jamani swala la vyeti kuhakikiwa mahakamani ni muhimu au lazima..!? Click to expand... Ednapo kwenye tangazo wamesema hivyo ni lazima....ila kama kwenye Tangazo haikusemwa hivyo sio lazima so depend na mwajiri anataka nini.....but ni salama zaidi kuweka certified.
nicnicholos said: Jamani swala la vyeti kuhakikiwa mahakamani ni muhimu au lazima..!? Click to expand... Ednapo kwenye tangazo wamesema hivyo ni lazima....ila kama kwenye Tangazo haikusemwa hivyo sio lazima so depend na mwajiri anataka nini.....but ni salama zaidi kuweka certified.